Mtafiti wa bayoteknolojia ya kilimo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dk. Aneth David anasema ... na teknolojia hii ina sifa nzuri kwenye mimea mfano migomba na mahindi inachochea kuongeza ...
Goma ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), unaotajwa kuwa mji wa pili kwa ...
“Mazao manne yaliyopewa kipaumbele ni mpunga, mahindi, ngano na alizeti yaliyoorodheshwa katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Serikali ya Tanzania (FYDP III) na itaimarisha mnyororo wa ...
"Tutaendelea kuunga mkono jitihada za washirika wa maendeleo, mafunzo haya yataimarisha na kuleta tija katika kilimo cha kisasa," amesema. Sihaba amesema mafunzo hayo yatawajengea uwezo katika ...