Baadaye alifanyiwa upasuaji mara 14, baadhi ya operesheni hizo zilileta matatizo, na mwishowe, sanduku lake la sauti liliondolewa. Sasa anatumia kifaa bandia cha sauti na hawezi kula tena kama ...
Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi ...
WAGENI kutoka nchi mbalimbali wameanza kumiminika visiwani Zanzibar kuhudhuria Tamasha la Kimataifa za Sanaa la Sauti za Busara litakaloanza Februari 14 hadi 16 kwenye Ukumbi wa Ngome Kongwe, Unguja.
"Maadamu watoto wetu wangali hai, hatutaondoka Gaza, na hatutaiacha." Kwa Jamalat Wadi, na kwa Wapalestina walio wengi zaidi huko Gaza, pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu uwezekano ...