DAR ES SALAAM; SIMBA wameanza kutamba bwana! Leo walijana pale Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke, Dar es Salaam kufuatilia kwenye televisheni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kati ya timu hiyo na CS ...
Kauli hiyo pia imeungwa mkono na mabosi wa Kilimanjaro Wonders ambayo itacheza Jumapili itawakabili Simba katika mashindano hayo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, viongozi wa timu hizo ...
Simba imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kibabe baada ya kuifunga CS Constantine ya Algeria mabao 2-0, na kuongoza kundi A kwa kufikisha pointi 13 ikiwaacha Waarabu hao nafasi ...
Katika mwezi Februari pekee zitachezwa mechi 50 sawa na raundi sita vikiwemo viporo viwili. Simba na Yanga zenye rekodi ya kubeba ubingwa wa ligi mara nyingi zaidi ya timu zote zina dakika 630 sawa na ...
KOCHA wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kufurahishwa na viwango vya wachezaji wa timu hiyo na kuwamwagia sifa kutokana na kuonyesha ukomavu na kupata matokeo ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CS ...